Friday, November 21, 2014

USO KWA USO MAN U VS ARSENAL





Uso kwa Uso
Arsenal v Man United

Mechi: 208
-Arsenal Ushindi 73
-Man United Ushindi 87
-Sare 48
Arsenal wataingia kwenye Mechi hii ya Jumamosi wakiwa Nafasi ya 6 Pointi 1 tu mbele ya Man United ambayo iko Nafasi ya 7.
Mara ya mwisho Arsenal kuifunga Man United ni Mei Mosi Mwaka 2011 Bao 1-0 Uwanjani Emirates kwenye Mechi ya Ligi na tangu wakati huo wamecheza Mechi 6 na kutoka Sare 2 tu na zote zilizobaki Man United kushinda ukiwemo ushindi wa kishindo wa Bao 8-2 hapo Tarehe 28 Agosti 2012.
LIGI KUU ENGLAND
Jumamosi Novemba22
1800 Chelsea v West Brom        
1800 Everton v West Ham         
1800 Leicester v Sunderland                
1800 Man City v Swansea          
1800 Newcastle v QPR              
1800 Stoke v Burnley                
2030 Arsenal v Man United                 
Jumapili Novemba 23
1630 Crystal Palace v Liverpool  
1900 Hull v Tottenham             
Jumatatu Novemba 24
2300 Aston Villa v Southampton 
MSIMAMO:
BPL-TEBO19NOV

No comments:

Post a Comment