Uso kwa Uso
Arsenal v Man United
Mechi: 208
-Arsenal Ushindi 73
-Man United Ushindi 87
-Sare 48
Arsenal wataingia kwenye Mechi hii ya Jumamosi wakiwa Nafasi ya 6 Pointi 1 tu mbele ya Man United ambayo iko Nafasi ya 7.
Mara ya mwisho Arsenal kuifunga Man United ni Mei Mosi Mwaka 2011 Bao 1-0 Uwanjani Emirates kwenye Mechi ya Ligi na tangu wakati huo wamecheza Mechi 6 na kutoka Sare 2 tu na zote zilizobaki Man United kushinda ukiwemo ushindi wa kishindo wa Bao 8-2 hapo Tarehe 28 Agosti 2012.
LIGI KUU ENGLAND
Jumamosi Novemba22
1800 Chelsea v West Brom
1800 Everton v West Ham
1800 Leicester v Sunderland
1800 Man City v Swansea
1800 Newcastle v QPR
1800 Stoke v Burnley
2030 Arsenal v Man United
Jumapili Novemba 23
1630 Crystal Palace v Liverpool
1900 Hull v Tottenham
Jumatatu Novemba 24
2300 Aston Villa v Southampton
MSIMAMO:

No comments:
Post a Comment