Tuesday, May 27, 2014

Friday, May 23, 2014

wahitimu SAUT



Waandishi watatu wa Mwananchi wahitimu mafunzo ya Mazingira ya kibiashara
Mwanza: 

wahitimu SAUT

Wakwanza kushoto ni Mariam Juma mwandishi wa Mwananchi, mhadhili wa SAUT Denis Mpagaze, Afisa uhusiano wa BEST- AC Godfrey Kalagho na wahitimu Nancy Ijumba toka Radio SAUT na Stella Ibengwe kutoka Mwananchi

Waandishi watatu wa Mwananchi wahitimu mafunzo ya Mazingira ya kibiashara
Mwanza: 

SHEREHE YA KUHITIMU MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI SAUT

Wednesday, May 21, 2014

MASHINDANO YA UMISETA NGAZI YA MKOA


Mashindano ya michezo kwa shule za Sekondari (UMISETA) ngazi ya mkoa yameanza kushika kasi kwa kuzikutanisha timu zote za wilaya saba za mkoa wa Mwanza katika viwanja vya shule za Sekondari za Nsumba na Ngaza.